Skip to content
Speech

Amani Katika Bara La Afrika

  • Share

"Ni wajibu wa viongozi wa dini mbalimbali, pamoja na kukuza imani kwa waumini, pia kuimarisha amani ndani ya jamii kwa kusisitiza maadili mema, mshikamano, ushirikiano wa mawazo na vitendo, njia za kukabiliana na dhuluma ndani ya jamii, ulinzi na utetezi wa haki za wanyonge, usimamizi wa mfumo mzuri wa demokrasia shirikishi na utawala bora." - Dr. Salim, August 8, 2003

22Amani-Katika-Bara-la-Afrika22-Mada-iliyotolewa-katika-Kongamano-la-Dini-Mbalimbali-kuhusu-Amani-Ushirikiano-Maendeleo-na-Maelewano-katika-Jamii.pdf

"Amani Katika Bara la Afrika" Mada iliyotolewa katika Kongamano la Dini Mbalimbali kuhusu Amani, Ushirikiano Maendeleo na Maelewano katika Jamii

22Amani-Katika-Bara-la-Afrika22-Mada-iliyotolewa-katika-Kongamano-la-Dini-Mbalimbali-kuhusu-Amani-Ushirikiano-Maendeleo-na-Maelewano-katika-Jamii.pdf
4 MB
Go to external page: Download